b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, April 6, 2010

PIGO KWA MWANAHALISI.

Aaliyekuwa mhariri wa gazeti la mwanahalisi Ndg ASTERICO KONGA amefariki dunia jana jionni katika hospitali ya lugalo alipokuwa akipata matibabu yake ya kila siku.
Ndg. Konga alikuwa ni mwandishi na mhariri shupavu aliyekuwa akisimamia kwenye ukweli daima na pia alikuwa ni kiiongozi wa kuigwa katika kazi za uandishi na uhariri.
hili ni pigo kubwa na pengo lisilozbika kwa HALI HALISI PUBLISHER ambao ni wachapishaji wa magazeti ya mwanahalisi na mseto.
Sisi tulimpenda lakini mungu alimpnda zaid.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPOONI.
.....AAMEN........

No comments:

Post a Comment