b..

B1

Wynem

animation

Saturday, April 10, 2010

KITAA CHETU.

mwangu wa kitaa CBH naye alihudhuria kucheki wadogo zake wanachokifanya banaaa. Hahahahahahahahahahaaaaaaaaa.
msanii wa kitaa naye hakuwa nyuma katika kuwakilisha.

Huyu ni DJ S'B alikuwa kama mc wa shughuli nzima.

msanii YUDA SKILLS alikuwepoo kwenye upnde wa kipaza.


mashbiki wakifuatilia shindano klwa umakini mkubwa.




Mmoja wa majaji anaitwa SHAFII aliyeshika mic akitoa maoni yake kwa washiriki wa shindano.




SABABISHA wakiwa kazini.






Hili ni kundi la PAPILI CAMP likifanya mambo.





Kundi la OBADAA LIKIINGIA NA STAIL YA KUBEBA MAITI.





Hawa wanaitwa FANTHOM SOULDER watoto wa kitaa cha kawe wakifanya mambo.






Huyu ni miongoni mwa majaji wa hili shindano anaitwa bw FRENK





Hili ni kundi la SABABISHA wakionyesha utundu wao.





Baadhi ya mashabiki waliokuwepo ukumbini wakifuatilia kwa umakini mpambano wa kimtaa.






Mmoja wa majiaji MONALISA akisoma matokeo.







..........Katika pitapita zangu za moja ya harakati za kimtaa kama kawaida mtoto wa kitaa a.k.a The DON si ndio nikagumia show moja kabambe mitaa ya kati pande za kawe hivi… ……unajua show ilikuwa ya nini!?...
……show ilikuwa ni ya mashindano ya kusakata dansi bana.. …yaani unaambiwa mtu nyomi kama kama kiwanja flani hivi cha mbele kumbe ni huku kwetu uswazi. Ma camp kibao kutoka mtaa tofauti tofauti na pande zite za jiji yalishriki.
Kwa mujibu wa mmoja wa waandaaji wa mashindano hayo amesema wameamua kuingia mtaani kusaka vipaji kwa sababu wanaamini kabisa mtaani ndiko vilipojificha vipaji vya ukweli ambavyo haviwezi kuonekana kwa sababu havipewi nafasi kabisa. …..“tumeamua kuingia mtaani kusaka vipaji vya kudansi kwa sababu tunaimani kuwa huku ndio kuna vipaji vya ukweli kabisa ila haviwezi kuonekana kutokana na kukosa nafasi ya kushiriki mashindano makunwa makubwa”..
Aliongeza….. “…..Sisi kama BONGO SHAKERS ENTERTAINMENT tumejupanga vya kutosha kuwapata na pia tuna majaji wa ukweli ambao watatusaidia katika mpango mzima!”
….show ilikuwa ni ya kimtaa zaidi kutokana hata washiriki (madansa) wenyewe walionekana kuwa ni wageni sana kwenye genu.
Pia mtaani bana hapakosekani burudani mzeiya……. Wasanii wetu wa kitaa kama kawa waliwakilisha ipasavyo kwa kutoa ushirikiano kwa madansa kwa kupafom nyimbi kubao tu ambazo ni kali tu kwa kusikiliza ila hazipo on air ….si umajua kimtaa mtaa?! Ngoma zinasikiliziwa geto tu!....

No comments:

Post a Comment