b..

B1

Wynem

animation

Sunday, April 18, 2010











Hawa ni masakala mobb....











Kundi la adventure........











ADVENTURE wakiwa kazini..

MASAKALA MOBB wakiwa kazini...
MAJAJI wakijadiliana mpango mzima wa matokeo.....
DJ SB akiwa na Mrembo LUCY katika mpango mzima wa kusherehesha shughuli nzima......

Hawa ndio CASH MONEY............

Huyu ni chief jaji akitangaza matokeo


FLEVA ZA KITAA........
Lile shindano lakumtafuta mkali wa kudanc katika kata ya kawe bado linaendelea na wakati huu limefikia mwisho wa mzunguko wa kwanza na makundi kibao tu yamesha sepa kiaina kwani wiki ijayondio makundi yaliyofanikiwa kupita ndio yanaingia katika raundi ya robo fainali
akiongea katika tamasha lenyewe mkurugenzi wa BONGO SHAKERS INTERTAINMENT ambao ndio wenye jukumu zima katika kuhakikisha suala hili linasimama vilivyo Mr Calos alituambia kuwa wamejipanga vya kutosha "tumejipanga vya kutosha kabisa kwani sasa tuna kibali cha kuandaa mashindano haya tanzania nzima na hapa tumeanza mtaa kwa mtaa,"
.....katika mashindano hayo yaliyoshirikisha makundi kibao ambayo mengine tayari yamesha toka kaitka mchujo uliopita.
makundio yaliyojifua wiki hii ni pamoja na Cash Money, Adventure, Ungaunga, Masaskala Mobb na Revolution Guys.
Pia katika tamasha hilo walikuwepo watu kibao katika kuhakikisha burudani inasonga mbele, watu hao ni pamoja na Matumaini, Yuda Skillz, Kinyonga na Taza boy, Bacho wa michano, Man dabi. pia tulitembelewa na Mr Kitime katika kushoo lavu kwa wana wa kitaa........
HIZO NDIO FLEVA ZA KITAA BANAA............ Nani anabishaaaaaaaaaa

No comments:

Post a Comment