b..

B1

Wynem

animation

Monday, April 5, 2010

mating'a ya pasaka

Baada ya mizunguko kibao ya hapa na pale katika mihangaiko ya dunia hii huwa natulia geto na kuendeleza kazi ambazo sikuzimaliza maofisini.
kaka mkubwa SALUM SULEIMAN a.k.a ALONE Mc the DON akiwa na B. TWANGALA wa clouds FM.
Washkaji kutoka River camp waliwakilisha vy kutosha kabisa pande zile za coco beach katika kuwarusha wadau wa burudani pasaka yote!
na hili ndio nyomi lililokuwepo pale coco.
Hapa ni mashabiki waliofurika coco beach katika kuisherehekea pasaka na wasanii kibao tu walipafom pale
mtu mzima Farid akiimba na mashabiki wake.
Mashabiki wakimshangilia Fid Q.
Farid kubanda a.k.a Fid Q akiimba na mashabiki wake waliofurika katika kumpa shavu pande zile za coco beach.
Kubanda Mwnza mwanza akiwasikiliza mashabiki wake kile wanachokihitaji kutoka kwake.
Mtu mzima Ncha kali akiwa sambamba na Farid kubanda wakati wakichana songi lao la shimi limetema.
Mtu mzima Dj Chioka akiwa klwenye moja na mbili akiwarusha wapenzi wa burudani waliofurika kwenye viwanja vya coco beach
Hapa ni Chege Chigunda akimkabidhi Dj Choka cd yake ambayo allitumia katiak kuwapa burudani mshabiki wake.

No comments:

Post a Comment