b..

B1

Wynem

animation

Sunday, November 4, 2012

MSONDO NGOMA WAPAGAWISHA WAKAZI WA ILALA USIKU WA HUU.

http://3.bp.blogspot.com/-dmujf-3taP8/UJatnGGRdDI/AAAAAAAAKq4/nLrDWRPNXdw/s1600/IMG_9484.JPG 
Waimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma kutoka kushoto ni Eddo Sanga Sahani Dede na Juma Katunduwakitoa burudani usiku huu Katika Ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni.http://3.bp.blogspot.com/-Z_e5r-05SwI/UJatZEqlPSI/AAAAAAAAKqw/ldeJK1_5mz0/s1600/IMG_9483.JPG 
Mpiga gila la Ridhim Wa msondo ngoma Zahoro Bangwe akizikung'uta nyuzi wakati wa onesho la bendi hiyo lililofanyika jumapili katika ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni http://4.bp.blogspot.com/-Lr9rLNikqms/UJax0sMsOoI/AAAAAAAAKrg/UG6ViEv5UKo/s1600/IMG_9491.JPG 
Wasanii wa bendi ya Msondo ngoma wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika katika ukumbi wa Max Bar Ilala bungoni kutoka kushoto ni Shabani Lendi,Hamisi Mnyupe na Romani Mng'ande wakipuliza ara za mziki picha na www.burudan.blogspot.com

No comments:

Post a Comment