b..

B1

Wynem

animation

Monday, November 26, 2012

MSANII SHARO MILIONEA AFARIKI KWA AJALI YA GARI

Sharo Milionea - Enzi ya Uhai wake
Mwili wa Sharo Milionea baada ya ajali

Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Constatine Masawe amekiri kutokea kwa msiba wa Sharobaro, baada ya kupata ajali katika kijiji cha Lusanga, Muheza majira ya saa mbili usiku (usiku huu). 

Kampuni ya SULE'S INC. & ENTERTAINMENT NA Menejment nzima ya blog ya MTOTO WA KITAA tunatoa pole kwa familia ya sharo milionea, baraza la sanaa tanzania (BASATA) na wasanii wote kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment