b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, September 4, 2012

MB DOG SASA KUJITUPA KWENYE FILAMU

Mtu mzima Mbwana Mohamed a.k.a Mb Dog (pichani), ameamua kujitupia kunako tasnia ya uigizaji na kushiriki katika filamu inayokwenda kwa jina la Nankonda Wa Mikindani.
Katika filamu hiyo, Mb Dog, ameigiza akiwa mhusika mkuu huku akijinadi kuwafunika nyota waliopo katika tasnia ya filamu za Swahiliwood.
"Sanaa ipo katika damu, nilikuwa niingie katika filamu kipindi tu nyuma, lakini niliona nianze kwanza na muziki huku nikisoma mchezo wa filamu unaendaje," alisema.
"Kwasababu katika muziki ninafanya vizuri, sasa nakuja na katika filamu. Sina maneno mengi, watu wakae mkao wa kula kumwangalia Mb Dog."

No comments:

Post a Comment