b..

B1

Wynem

animation

Monday, September 24, 2012

KIKUNDI CHA SHADA CHAFANYA KWELI TAMASHA LA BAGAMOYO JIONI HII

Wasanii wa Kikundi cha Shada, wakifanya onyesho la sarakasi katika ufunguzi wa tamasha la kimataifa la Sanaa Bagamoyo. Tamasha hilo limefunguuliwa rasmi Jumatatu na litaendelea kwa siku tano hadi Jumamosi ijayo
Wasanii wa kundi la Jeshi wakifanya onyesho la Mzingaombwe katika Tamasha la Sanaa la Bagamoyo.
 Picha kwa hisani ya CAJAtz

No comments:

Post a Comment