b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, April 17, 2013

MKONGWE WA MUZIKI WA TAARABU NCHINI, BI KIDUDE AMEFARIKI DUNIA.


Bi Kidude katika moja ya shoo zake enzi ya uhai wake
*********************

Bi.Kidude amefariki dunia mjini Zanzibar. Bi Kidude alikua akisumbuliwa na ugonjwa wa Kisukari Habari zaidi tutaendelea kuwaletea kile kinachoendelea.

No comments:

Post a Comment