b..

B1

Wynem

animation

Monday, April 15, 2013

HEKAHEKA MITAA YA KATI: JAMAA APOKEA KICHAPO BAADA YA KUSHINDWA KUMLIPA CHANGUDOA


Neema Samson (Changudoa) akiwa amemkaba mteja wake baada ya kushindwa kumlipa chake.

Joseph akizidi kupewa hali ngumu na Neema, pembeni wananchi wakianza kusogea eneo la tukio.

 Baada ya wananchi waliingilia kati zogo hilo baada ya kuona wanazidi kuvuruga amani mtaani kwao, waliamua kuwaweka mtu kati tayari kuwapeleka sehemu husika.

Wananchi waliamua kuwapandisha kwenye Bajaj tayari kuelekea kituo cha polisi.

No comments:

Post a Comment