b..

B1

Wynem

animation

Friday, August 24, 2012

SUMA MNAZALET: OSTAZI JUMA (MTANASHATI) SIO MAFANYAJI KAZI, ANAPENDA SIFA NA KUUTAKA USTAA KWA NGUVU

Sababu muhimu kuliko zote ya kujitoa kwa OSTADH JUMA NA MUSOMA MTANASHATI, na sio kufukuzwa kama alivyowadanganya waTANZANIA ni hii hapa. Nilienda mtashati kwa ajili ya kuhitaji usimamizi thabiti wa kazi zangu ili niweze kufika mbali na kutambulika zaidi EAST AFRICA,AFRICA na dunia kiujumla ndo maana nikaingia mtanashati! ckufata ela za OSTADH JUMA, baada ya kuingia nikagundua kwmba kwa ostadh juma akuna hilo.
Ila lililopo sio kazi bali OSTADH JUMA anahtaji zaidi u STAR, UMAARUFU na kujulikana TANZANIA zaidi hta ya wasanii. hilo niligundua pale 2 ambapo hata ukiiimba nyimbo na R KERRY au LIL WAYNE alaf ujamtaja OSTADH JUMA NA MUSOMA au kumuandika kwnye video iyo NYIMBO AIPOKEI, hvyo nikaona hapa akuna kazi zaidi ya kumpa SIFA M2.
La pili! OSTADH JUMA yuko tayari kumwaga hata million 10 kwa wa2 wa media ili aonekane tajiri na asifiwe kwnye vyombo vya habari na wakati huo huo msanii una shoot video ya laki 4 low quality vp utaweza kumfikia m2 kama AY anaye shoot video million 30, vp utaweza kupigwa kwnye vi2o vya kimataifa na kujulikana africa na dunia kama CHANEL O, MTV, TRACE na vinginevyo wakati una video ya miyeyusho! kwa hilo pia nikagundua mtanashati akuna kazi ila sifa 2. kama mwanamuziki nnayejitambua nahitaji kufika mbali siwezi kukaa sehem kama hiyo kwani video za laki 4 mi mwnyewe nilikuwa nafanya na kampuni yangu ya MEGA PIX 20.
M2 kama PNC awezi kuliona hilo wala kujitoa kwa sbb chumba anacholala kodi kalipa ostadh juma na dogo janja pia inabidi amtetee ostadh juma kwa sbb asipofanya hivyo atakosa pa kulala, kula na atarudi ARUSHA so lazima wamtetee ostadh juma na kunikandamiza mimi ili waendelee kuwa mjini! ila OSTADH JUMA ANAZINGUA na sbb anazotoa kuhusu mimi na MANAGER MANENO ni za uongo anatengeneza mazingira ya kujisafisha. kuhakiki hilo angalia video zote za wa2 wa mtanashati zinakoshutiwa ni sehem za laki 4 so kwa hali iyo m2 utaenda wapi? kaona bolingo wa2 awasikilizi sana so hta akipaishwa jina alikui sana akaona bola atumie wabongo fleva ili a HIT TZ na kafanikiwa kwa ilo ila kwa kazi akuna. na hta uo mkwanja so kiivyo kama watanzania mnavyosikia mi mwnyewe nilikuwa najua kama nyie, ila kuna mengi ukiingia ndo utayajua! 
CKO MTANASHATI NIMEJITOA ananitishia kunionyesha kuwa yeye ndo OSTADH JUMA anamtishia manager maneno ila ndo mziki NAHITAJI SUPPORT YENU NA UKWELI NDIO UO! DOGO JANJA, PNC NA AMAZON wamepangwa yakusema ili wapotoshe ukweli.. haha hahaa chunguza niliyoyasema mi msanii wa watanzania so ostadh juma.
DOGO JANJA NA PNC NDO WAMEKUWA WASEMAJI BAADA YA KUPANGWA WAKATI MI NAONGEA NA OSTADH JUMA. KWELI NJAA NOMA! JANJA ANASAHAU MI MSANII KAMA YEYE ILA OSTADH JUMA SO MSANII. na nimemuandikia mashairi kwnye watasubri ya MTANASHATI na ile ya waanga wa meli! si angeandikiwa na OSTADH.
HII PIA AMEIANDIKA KATIKA UKURASA WAKE (SUMA MNAZALETI) WA FACEBOOK.

No comments:

Post a Comment