b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, August 21, 2012

BREAKING NEWS: MAHAKAMA KUU KANDA YA TABORA YATENGUA UBUNGE WA DR LALALY KAFUMU

Aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Dk Dalali Kafumu, aliyechukuwa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliopita baada ya Rostam Aziz (CCM) kujiuzulu wadhifa huo. Igunga imeingia katika sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Kanda ya Tabora kutengua ubunge wake leo hii. Hukumu hiyo imetolewa leo na Jaji Mary Shangali

No comments:

Post a Comment