b..

B1

Wynem

animation

Sunday, March 11, 2012

SIKU YANGU YA JANA PANDE ZA KAWE BEACH.

Hapa ndio tulikuwa tumefika Kawe Beach Kuanzia kulia ni mtu mzima Salu Boy, Villy na Abell.
Mwanagu Saidawg akistua wana wengine kuwa leo tupo kitaa cha Kawe Beach, huku Villy akimuita Mhudumu.
Mhudumu alifika na Kutusikiliza

Sule Junior a.k.a Mtoto wa kitaa Na Saidawg.
Baada ya mambo yote mzigo ukaendelea. Hapa nikiwa na wanangu Villy (kushoto), Saidawg (wapili kutoka kushoto), mimi mwenyewe Mtoto wa Kitaa na wa mwisho kulia ni Abel. Huku nikisukuma mzigo taratibu maana mimi huwa kazi popote a.k.a ofisi ni niliposimama.

No comments:

Post a Comment