b..

B1

Wynem

animation

Thursday, March 8, 2012

BAADHI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI NCHINI TANZANIA (2010 / 2011)


 Upokeaji wa kitabu kwa ajili ya wanafunzi, The Dutches of Cornwall Camilla
Parker Bowles (kushoto)akikabidhi kitabu kwa Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete kwenye viwanja vya WAMA jijini Dar es Salaam (kulia) kitabu hicho ambacho kimetimiza idadi ya vitabu milioni moja vilivyotolewa na kutoka kwa taasisi ya British Charity READ International. (2012).

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kulia) akijadiliana na wanafunzi wenye  vipaji maaluum  katika maabara ya chuo hicho jinsi ya upasuaji wa mnyama .Mama Kikwete alitembelea Malaysia 2011.
Mkee wa Rais Mama Salma Kikwete akiwaonyesha watoto jinsi ya kunawa mikono salama na sabuni wakati wa maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam 2011.

Picha ya chini,  wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki matembezi ya kuchangia watoto jijini Dar es Salaam 2011, (kulia) ni Picha ya kushoto, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki matembezi ya kuchangia watoto jijini Dar es Salaam 2011,(kulia) ni Mkurugenzi wa Benki ya Barcklays Kihara Maina.
Yameandaliwa na Mdau Mwanakombo Jumaa

No comments:

Post a Comment