b..

B1

Wynem

animation

Monday, March 5, 2012

ILIVYOKUWA KWENYE MECHI KATI YA BONGO KEDI NA MWANZA KOMEDI.

Kikosi cha Komedi toka Mwanza katika pcha ya pamoja kabla ya mchezo.
Kikosi cha Bongo Komedi toka Dar es salaam katika picha ya pamoja kabla ya mchezo
"Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mh.Said Amanzi iliupate mikono ya wachezaji hawa wa nyumbani kwako lazima utupie ngawira kwenye chungu....!!!"
Mheshimiwa aliambiwa na msanii huyu ambaye ndiye alikuwa mganga wa timu ya Bongo Komedi na shahidi alikuwa kingwendu na wenziwe "Mheshimiwa umenishika mimi baaaaassss!!! tushashinda...."
Mganga wa Komedi Mwanza kushoto na shabiki...

Mshambuliaji Tale toka Bongo Komedi alikuwa mwiba kwa ngome ya Komedi Mwanza hapa ni kana anapiga vile .... anafinyaaa.....
Mara goliiiii....
Sharo Millionaire ni moja kati ya wachezaji walokuwa wasumbufu kwenye mchezo huo na of coz alitupi lake moja...
Nkabaaaa!! Hili ndilo bao la Sharo Millionaire ambapo mengine yalifungwa na Tale ambaye alifunga mawili na jamaa mwingine hivi.....
Mashabiki na macho yao kwenye stage mara baada ya dakika 90 kumalizika.

Mtanga alipata shavu sana toka kwa watoto naye bila hiyana....flash!
Man of the match Tale akiwapa wakazi wa Mwanza rubudani...
Mfuniko wa maraha.

Ni burudani toka kwa Sharo Millionaire na wenzake Bongo Komedi toka jijini Dar wakitoa rubudani kwa stage CCM Kirumba Mwanza leo.
Timu ya Bonggo komedi ilibuka kifua mbele kwa ushindi wa goli 4-3.

No comments:

Post a Comment