b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, March 13, 2012

MSONDO NGOMA YENDELEA KUTOA BURUDANI KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR

Msanii Mpya wa bendi ya Msondo ngoma, Shabani Lendi (kushoto) akipuliza Saxphone wakati wa onesho la bendi hiyo iliyofanyika jumapili katika Ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni wengine ni Hamisi Mnyupe, Romani Mngande na Msemaji wa Bendi hiyo Rajabu Mhamila Super D 
Waimbaji wa bendi ya Msondo ngoma wakiimba wakati wa onesho lao lililofanyika jumapili katika ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni kutoka kushoto ni Hasani Moshi,Shabani Dede,Msemaji wa Bendi hiyo Rajabu Mhamila Super D na mwimbaji Juma Katundu.
Msanii mpya wa bendi ya Msondo ngoma Shabani Lendi Akifanya vitu vyake wakati wa Onesho Hili.

No comments:

Post a Comment