b..

B1

Wynem

animation

Friday, July 22, 2011

WATEULE TOUR IN SOUTH AFRICA with Dj Choka

Show zinaanza rasmi Jumamosi hii ya tarehe 23 pale Joburg halafu Jumapili ya tarehe 24 tutaelekea Pretoria, baada ya hapo wiki ijayo Jumamosi ya tarehe 30 tutakuwa Cape Town kwenye Vunja Jungu na kuukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani.
Tunawakaribisha watanzania wote pamoja na marafiki zetu wa huku huku South kuja kuona show nzuri kutoka bongo.

No comments:

Post a Comment