b..

B1

Wynem

animation

Thursday, July 21, 2011

EXCLUSIVE: NAPE AMPONGEZA ROSTAM AZIZ KUJIUZULU

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, aliyasema hayo wakati akiongea na baadti ya waandishi wa habari wa Mbeya katika ukumbi wa Hotel ya Paradise amesema Chama hakina la kusema, lakini kikubwa ni kuwa amefanya jambo jema, kwa kuitikia wito wa Chama, uamuzi ambao ni mzuri na wa busara," alisema Nape. Kuhusu mkutano wa hadhara wa mjini Mbeya, Nape alisema unalenga kuwaelezea wanachama wa CCM na wananchi kwa jumla, juu ya mabadiliko ya uongozi ndani ya Chama, msingi wake ili waweze kuelewa, CCM imetoka wapi, ipo wapi na inakwenda wapi,
Baadhi ya waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya wakimsikiliza kwa makini KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye

No comments:

Post a Comment