b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, January 29, 2014

BREAKING NEWS!!!! JENGO LA GOROFA SABA (7) LAWAKA MOTO MAENEO YA KAMATA, KARIAKOO, JIJINI DAR ES SALAAM.

#HABARI Jengo jipya la ghorofa 7 (maarufu kama Jengo la Madawa) lililopo eneo la Kamata Jijini Dar es Salaam, linawaka moto mkubwa katika sehemu ya kuhifadhia vitu iliyopo kwenye jengo hilo.
Jengo jipya la ghorofa 7 (maarufu kama Jengo la Madawa) lililopo eneo la Kamata Jijini Dar es Salaam, linawaka moto mkubwa katika sehemu ya kuhifadhia vitu iliyopo kwenye jengo hilo.

No comments:

Post a Comment