b..

B1

Wynem

animation

Monday, January 14, 2013

WANAFUNZI WA IFM WAMEANDAMANA MPAKA KWENYE OFISI ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI.



Wnafunzi wa chuo cha IF wakiwa wameandamana mpaka nje ya ofisi za mambo ya ndani kuwakilisha kero zao.

Wanafunzi ho wameandamana kwa kile walichodai kuwa wamechoka na uonevu wa muda mrefu kutoka kwa vibaka, hasa kwa waliopanga kigamboni, wamekua wakiporwa vitu vyao kama laptops na vingine vya thamani na mabinti kubakwa pindi warudipo katika hostel zao baada ya masomo ama nyakati za alfajiri wakiwahi chuoni.


No comments:

Post a Comment