b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, January 2, 2013

R.I.P SAJUKI, MUNGU AMKUPENDA ZAIDI (02.02.2013)


Sajuki, Enzi za Uhai wake

Leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili.Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu.
Source: ITV Tanzania Facebook Page

SULE'S INC. & ENTERTAINMENT na Timu nzima ya Blog ya MTOTO WA KITAA tunatoa pole kwa Wastara Ndugu Jamaa na Familia Nzima Ya Sajuki.
...Allah Atawapa Wepesi Wa Mambo Insha'allah. 
...Inna Lillahi Waina Ilayh Rajiun. 

No comments:

Post a Comment