b..

B1

Wynem

animation

Monday, September 5, 2011

JOYCE KIRIA AOLEWA TENA KWA MARA YA PILI



Bw Henry John Kileo na Bi Joyce Kiria Walipofunga ndoa yao jana Jumapili(JANA) na baadae ilifanyika bonge la pati katika hoteli ya Atrium pande za Afrika Sana - Sinza.
NI mara ya pili kwa Joyce kilia kuolewa ndani ya kipindi cha muda mfupi baada ya kutalakiana na mumewe wa ndoa ya kwanza Dj Nelly...tears to nelly duuu.

No comments:

Post a Comment