b..

B1

Wynem

animation

Sunday, September 25, 2011

JCB AACHIA DUNIA KIZANI.

Msanii kutoka Arachuga a.k.a Arusha pale kona za kijenge ya juu, JCB anatarajia kuachia ngoma yake mpya hivi karibuni
Akipiga stori na mtoto wa Kitaa JCB alisema "kaka mimi naamini watu kama wewe ni wa muhimu sana katika hili gemu letu la muziki maana harakai zako zinaonekana kaka!" pia katika kuuzungumzia muziki JCB alisema "kaka natarajia kuachia ngoma yangu mpya inaitwa DUNIA KIZANI , Ngoma hii nimeifanya pale kwa Lamar na pia katika ngoma hii nimemshirikisha mtu mzima Hardmad.

No comments:

Post a Comment