b..

B1

Wynem

animation

Monday, June 27, 2011

JB ANG'AA ZIFF, ATWAA TUZO YA MUIGIZAJI BORA WA MWAKA 2011

Muigizaji wa filamu Jacob Steven a.k.a JB akipokea tuzo yake ya Muigizaji Bora wa Mwaka kutoka kwa Profesa Martin Mhando, CEO wa tamasha la kimataifa la filamu (ZIFF), Tuzo ambayo alijinyakuliwa tuzo ya dhahabu kupitia filamu yake ya Senior Bachelor, ambapo Filamu Bora ya Mwaka ilikuwa ni Ray of Hope iliyotengenezwa na Pilipili Entertainment chini ya mwandaaji Sajni Srivastava zilitolewa katika kilele cha hilo la ZIFF lililokuwa liifanyika Ngome Kongwe mjini Zanzibar.
 
habari zaidi gonga HAPA

1 comment: