WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza katika maadhimisho ya miaka 100 ya shughuli za Benki ya Standard Chartered nchini, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa juu wa benki hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini.
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (pichani kushoto) akishiriki hafla ya maadhimisho ya miaka 100 ya shughuli za Benki ya Standard Chartered nchini, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa juu wa benki hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini.
Baadhi ya viongozi wa juu wa benki Standard Chartered nchini kutoka sehemu mbalimbali Duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini wakifuatilia yaliyokijiri ukumbini humo.Baadhi ya viongozi wa juu wa benki Standard Chartered nchini kutoka sehemu mbalimbali Duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini wakifuatilia yaliyokijiri ukumbini humo.
No comments:
Post a Comment