b..

B1

Wynem

animation

Friday, March 24, 2017

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza  Mshauri wa  Uchumi wa Ubalozi  wa Ufaransa  Bi. Beatrice Alperte, Ikulu jijini Dar es salaam. alipokuwa akifanua jambo mapema leo , Ikulu jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Balozi wa  Ufaransa nchini Mhe. Malika Berak  alipokuwa akifanya mazungumzo nae mapema leo, Ikulu jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment