b..

B1

Wynem

animation

Thursday, March 23, 2017

NAPE NNAUYE AKUTANA NA VIKWAZO KATIKA MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI

Mfanyakazi wa hoteli ya Protea, Suleiman Kapase akizungumza na waandihishi wa habari mara baada ya kutangaza kuwa mkutano wa Nape Nauye na waandishi hautokuwepo hotelini hapo na kuwataka waandishi kusambaa
Mh. Nape Nnauye akuzungumza na waandishi wa habari nje ya hoteli ya Protea mara baada ya kuwasili hotilini hapo na kuzuiwa kuingia katika hoteli hiyo kwa ajili ya kuzungumza na wanahabari.
Gari la kamanda wa polisi wa Kinondoni likiwa limeblok gari la Mh. Nape Nnauye asiondoke eneo la tukio

Mkurugenzi wa kituo cha haki za binadaam, Hellen Kijo Bisimba (kushoto) akishuhudia kinachoendelea kwenye mkutano wa Mh. Nape Nnauye.
Mh. Nape Nnauye akuzungumza na kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni (yupo garini) baada kamanda huyo kufika katika mkutano huo kwa ajili ya kuzui Nape asizungumze na wanahabari.
Mh. Nape Nnauye akirudi kwenye gari lake mara baada ya kumaliza kuzungumza na kamanda wa mkoa wa kipolisi Kinondoni.

Picha zote na Suleima Salum.

No comments:

Post a Comment