b..

B1

Wynem

animation

Friday, October 9, 2015

TIMU NIMESTUKA WAWASTUA WATTU WA KAHAMA MJINI

Msanii ray Kigosi akimwaga sera kwa wananchi wa kahama mjini.
Msanii Ndende akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM kata Malunga jimbo la Kahama mjini mara baada ya kuwasili eneo la Tukio.
Msanii Skyner Ally akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Kupa  akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Sajent  akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Mboto akiteremka garini 
Msanii, Mboto  akizungumza na wana Kahama.
Miss Tanzania 2014/2015,  akizungumza na wana Kahama.
Msanii Aunt Ezekiel  akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Stan Bakora  akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Kitale  akizungumza na wana Kahama.
Baadhi ya umati wa wananchi wa Kata ya Maluga jimbo la kahama mjini waliohudhuria mkutano huo.
Msanii, Inspector Harun  akizungumza na wana Kahama.

No comments:

Post a Comment