Msanii ray Kigosi akimwaga sera kwa wananchi wa kahama mjini.
Msanii Ndende akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM kata Malunga jimbo la Kahama mjini mara baada ya kuwasili eneo la Tukio.
Msanii Skyner Ally akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Kupa akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Sajent akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Mboto akiteremka garini
Msanii, Mboto akizungumza na wana Kahama.
Miss Tanzania 2014/2015, akizungumza na wana Kahama.
Msanii Aunt Ezekiel akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Stan Bakora akizungumza na wana Kahama.
Msanii, Kitale akizungumza na wana Kahama.
Baadhi ya umati wa wananchi wa Kata ya Maluga jimbo la kahama mjini waliohudhuria mkutano huo.
Msanii, Inspector Harun akizungumza na wana Kahama.
No comments:
Post a Comment