b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, September 29, 2015

WASANII WA TIMU NIMES'TUKA WAAGA MWILI WA MAREHEMU MAMA CELINA KOMBANI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO

Wasanii wa Timu NIMES'TUKA wakiwasili kwenye Uwanja wa Jamuhuri mjini Morogoro kuuga mwili wa marehemu Celina Kombani
Wakipata maelekezo
Wakisalimiana na mbunge wa Morogoro Mjini, Mh Abood
Mboto, Juma Nature na Rich One wakipita kutoa heshima zao za mwisho mbele ya mwili wa marehemu Celina Kombani
Ndende, Stan Bakora na Saguda wakipita kutoa heshima zao za mwisho mbele ya mwili wa mama Celina Kombani
Kupa akiwa amembeba msanii Tausi wakipita kutoa heshima zao za mwisho mbele ya mwili wa marehemu Celina Kombani
Ray Kigosi (kushoto), Sajent (katikati) na Kitale wakipita kutoa heshima zao za mwisho mbele ya mwili wa marehemu Celina Kombani
Aunt Ezekiel na Kajala wakipita kutoa heshima zao za mwisho mbele ya mwili wa marehemu Celina Kombani.
Picha Zote Na Sule Junior

No comments:

Post a Comment