b..

B1

Wynem

animation

Monday, September 28, 2015

TIMU 'NIMESTUKA' ILIVYOFANYA MAMBO DODOMA MJINI

Juma nature na Inspekta Haarun na wasanii wengine wakiwa wanaingia katika viwanja vya Mnadani mjini dodoma.

Baadhi ya wasanii waliokuwa ukawa na kurudi Chama Cha Mapinduzi wakiwa katika mji wa Dodoma wakiwastua wanadodoma kustuka kuwa ukawa hakuna sera hivyo ndiomaana wameamua kurudi ccm.
Wasanii hao wanaunda timu waliyoipa jina la NIMESTUKA wanafanya kampeni za kuwastua watu katika baadhi ya mikoa ya tanzania.

Msanii Stan Bakora akisalimiana na mgombea ubunge wa jimbo la Dodoma mjini, Antony Mavunde mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mnadani Mjini Dodoma

Ray Kigosi akiwa na msanii mwenzake wakisalimia wananchi wa dodoma mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mnadani Mjini Dodoma

Juma nature na Inspekta Haarun na Rich One wakikamua katika viwanja vya Mnadani Mjini Dodoma

Msanii Kitale, Ndede na Mboto wakisalimia wananchi wa dodoma mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mnadani Mjini Dodoma

Aunt Ezekiel akizungumza na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Dodoma mjini katika viwanja vya Mnadani Mjini Dodoma

Stan Bakora na Mr. Kupa wakifanya yao katika viwanja vya Mnadani Mjini Dodoma. Picha zote na Suleiman Lyeme

No comments:

Post a Comment