
B0NDIA Mbena Rajabu atapanda tena uringoni kuzidunda na Twaribu Mchanjo mpambano utakaofanyika Septemba 6 katika ukumbi waVijana Kinondoni kugombania ubingwa wa Taifa wa uzito wa kg 57
mpambano uho unaoratibiwa na Ibrahimu Kamwe utakuwa na mapambano mengine ya utangulizi yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali nchini ambapo bondia Abdallah Pazi atazidunda na Ambokile Chusa na Georger Alen wa Muheza Tanga atazipiga na Mwinyi Mmzengela wakati Epson John wa Morogoro atazidunda na Mohamed Alkaida
Kamwe aliongeza kwa kusema mpambano uho ameuandaa kwa kuakikisha wanakuwa na mabondia wengi ambao watakuwa mabingwa na kuwakilisha nchi katika mapambano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa
Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
No comments:
Post a Comment