b..

B1

Wynem

animation

Monday, September 30, 2013

BREAKING NEWS!!!!! MSANII NA MEMBA WA KUNDI LA WATEULE, MACK MALIK a.k.a SIMBA AFARIKI ASUBUHI HII

Msanii Na Producer Wa Music Wa Bongo Fleva Na Reggae Mack Malik Simba Amefariki Dunia Dakika 50 Zilizo Pita. Kaka Wa Marehemu Msafiri Masharubu Amesema Kuwa Alikuwa Akisumbuliwa Na Kuvimba Kwa Miguu Sana. Amefia Nyumbani Kwao Yombo. 
Mack Alikuwa Member wa Kundi la wateule na producer kwenye studio za Enrico Pale Sound Crafters. Tunazidi Kufuatilia Habari Zaidi

No comments:

Post a Comment