b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, September 25, 2013

1ST ANNIVERSARY OF THE LEGEND IS BACK

Sasa zimebaki siku 3 tu kabla ya kufika siku tunayoisubiri kwa hamu, The Legend is Back first anniversary. Project ilianza kwa support yenu na ni mwaka sasa tunatimiza kwa sapport yenu. Tulianza pamoja karibu tujumuike tutimize mwaka tukiwa pamoja. Siku hii muhimu itaambatana na shindano kali la disco dancing toka kwa mabingwa wa zamani kuiwakilisha Morogoro Maneno Ngedere na toka DSM Athuman Diga Diga. Vile vile wakali wa chacha Africa Mashariki Moddy Jazz B na Sunday Boy watachuana vikali. Utakuwa vilevile na special moment of silence kuwakumbuka malegendari wa disco waliotutangulia mbele ya haki ni j'mosi hii 28/9/2013 ndani ya isumba lounge. Wote mnakaribishwa


No comments:

Post a Comment