b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, July 17, 2013

WAZEE WA TABORA WAKOMALIA MCHEZO WA BAO


Juma Shoka Salumu Dilunga Kushoto akicheza mchezo wa bao na Salumu Dilunga wakati walipokuwa maeneo ya Changamoto Mkoa wa Tabora jana mchezo huo uliozoeleka kuchezwa mikoa ya pwani imeleta chachu kubwa kwa wakazi wa mkoa wa Tabora.
Picha kwa hisani ya  blog ya SUPER D

No comments:

Post a Comment