b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, July 31, 2013

BONDIA MTANZANIA OMARI KIMWERI ALIVYO MGALAGAZA EKKALAK SAENCAN WA THAILAND KWA KO


Bondia Mtanzania Omari Kimweri  anaefanya shughuli zake Australia kulia akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake baada ya kumtwanga  Ekkalak Saenchan  wa Thailand kwa KO raundi ya kwanza.

Bondia Mtanzania Omari Kimweri  anaefanya shughuli zake Australia kulia akinyooshwa akimsukumia makonde mazito mfululizi bondia Ekkalak Saenchan  wa Thailand na kufanikiwa kumtwanga kwa kwa KO raundi ya kwanza mwishoni mwa wiki iliyopita.
PICHA NA kwa hisani ya www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment