b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, February 20, 2013

KAMA ZAMANI YA MWANA FA KUTOKA FEBRUARI 25, 2013



Ile track iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki, KAMA ZAMANI kutoka kwa MwanaFA akiwashirikisha wakongwe wa burudani nchini, Kilimanjaro Band (NJENJE) pamoja na Mandojo & Domokaya sasa kutoka Tarehe 25 mwezi huu.
Kwa mujibu wa MwanaFA, alisema track hiyo itapatikana moja kwa moja katika mitandao mikubwa inayouza na kusambaza muziki duniani yaani iTunes, Amazon na Spotify na kuomba fans wake waupate huko.

No comments:

Post a Comment