b..

B1

Wynem

animation

Thursday, October 11, 2012

KANYE WEST AONGOZA KWA KUNYAKUA TUZO NYINGI BET 2012

Kanye West

Mtu mzima KanyeWest pamoja na kutokuwepo katika Usiku wa Tuzo za BET za Hip Pop 2012 lakini ndio msanii Rapa aliyeongoza kwa kuchukua tuzo nyingi kuliko wasanii wote katika Tuzo za BET zijulikanazo kama 'BET Hip Pop Awards 2012', Kanye amejinyakulia tuzo 7 ikiwapo Tuzo ya produza bora,  Mtu zima Kanye alichaguliwa kuwania tuzo 17 mwaka huu na yeye ndiye aliyeongoza kuwepo kwenye vipengele vingi mwaka huu '2012'.
List kamili ya Tuzo zilitolewa kama ifuatavyo;

1. Wimbo wa mwaka ni Ni-as in Paris wa Kanye West&Jay Z.
2.Video Director wa mwaka ni Hype Williams
3. Wimbo bora wa Kushirikiana yaani best Colabo ni Mercy wa Kanye West ft Big Sean, Pusha T na 2 Chainz.
4. Muandishi bora ni Kendrick Lamar
5. Tuzo nyingine ni Sweet 16:Best featurer Verse imekwenda kwa 2Chainz kupitia wimbo wa Mercy
6. Producer wa mwaka ni Kanye West
7. MVP yaani Most Voted Playlist, msanii ambaye ngoma zake zinapigwa sana kwenye redio na Televisheni ni Rick Ross
8. Tuzo ya Msanii mpya wa mwaka/Rookie of the year imekwenda kwa 2 Chainz
9. Msanii mwenye swag au staili bora ya Hip pop ni Kanye West
10. Impact Track yaani ngoma yenye mguso ni ngoma ya Daughters ya Nas
11. Msanii anayejituma kufanya kazi yaani Hustler of the year ni Jay Z.
12. CD ya mwaka imekwenda Jay Z na Kanye West 'The Throne'
12. Kanda Mseto ya mwaka yaani Mixtape Bora amechukua Meek Mill, 'Dreamchasers'
13. Best Live Perfomer ni The Throne, Kanye West na Jay Z.
14. Video Bora ya Hip Pop kachukua Drake , 'HYFR' aliyomshirikisha Lil Wayne
15. Ngoma inabang club sana ni Ni-as in Paris ya Kanye West na Jay Z
16. Dj bora wa mwaka ni Dj Khaled

No comments:

Post a Comment