Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lisu, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashtaka yake ambayo bado haijawekwa wazi.
Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lisu (mwenye fulana nyekundu) akiwa mahakamani.
PICHA: Mawakili Peter Kibatala na Fatma Karume wakinena jambo mahakama ya Kisutu kabla ya kusikilizwa kesi ya mteja wao, Mbunge Tundu Lissu.
No comments:
Post a Comment