
Rais wa Burundi aagwa rasmi baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya siku moja nchini Tanzania. Ziara hii imefanyika katika Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera. Aidha Mhe. Rais Nkurunziza na mwenyeji wake Mhe. Rais John Pombe Magufuli wamehutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Posta mjini Ngara
No comments:
Post a Comment