b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, August 6, 2013

MAJEMBE YA KASKAZINI (FIDO VATO & BOU NAKO - MI NAJUA

Majembe ya Kaskazini Bounako & FidoVato wanarudi tena na Hardcore hiphop Joint kwa jina "Mi Najua" ikiwa ni mkono wa Defxtro toka Noizmekah studios, remix ya pini hili litakuja mwezi ujao wakiwemo Mcs wengine JCB na Moplus, kwa sasa Majembe wanajipanga na Video Kadhaa za ngoma zao hivyo mashabiki wakae mkao wa kuburudika na kuelimika,Pata kuusikiliza wimbo huu na kudownload HAPA 

No comments:

Post a Comment