b..

B1

Wynem

animation

Saturday, April 8, 2017

NAPE ALIPOFIKA JIMBONI KWAKE (MTAMA) NA KUZUNGUMZA NA WAPIGAKURA WAKE

Mbunge wa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, Nape Nnauye akihutubia wananchi jimboni humo, na kuelezea kisa cha yeye kuvuliwa uwaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na kitendo cha kitishiwa bastola alipotaka kuzungumza na wanahabari nje ya Kanisa la Mtakatifu Petro, Msasani Dar es Salaam mwezi uliopita. 
(PICHA KWA HISANI YA MICHUZI Jr)

No comments:

Post a Comment