b..

B1

Wynem

animation

Sunday, November 1, 2015

WIZ KID AFUNIKA LEADERS CLUB

Msanii kutoka Nigeria, Wiz Kid Akifanya mambo jukwaani kwenye viwanja vya Leaders Club.
Msanii kutoka Nigeria, Wiz Kid Akifanya mambo jukwaani kwenye viwanja vya Leaders Club.
Msanii kutoka Nigeria, Wiz Kid akiimba huku akiwa nyuma ya jukwaa ikiwa ni muda mfupi kabla ya kupanda jukwaani. 
Msanii Fid Q akiwaburudisa mashabiki wa muziki waliohudhuria tamasha la Wiz Kid, msanii kutoka Nigeria
Msanii Christian Bella kaifanya yake jukwaani.
Msanii wa Filamu nchini, Ray Kigosi akimtunza msanii Christian Bella alivyokua akiimba katika tamasha la Wiz Kid jana.
Msanii Diamond Akiwapa burudani wakazi jiji la Dar na mashabiki wake katika shoo ya Wiz Kid iliyofanyika kwenye viwanja vya Leader Club. 
Sehemu ya mashabiki wa muziki waliohudhuria tamasha la Wiz Kid, msanii kutoka Nigeria
Mc wa Tamasha na mtangazaji wa kituo cha televisheni cha EATV, Sam Missago akifanya yake
Dj Sinyoritha.
Dj Sinyoritha akiwa na mgeni wake kwenye Mashine

No comments:

Post a Comment