b..

B1

Wynem

animation

Friday, March 28, 2014

KASEBA NA MASHALI WAPIMA UZITO KUPIGANA KESHO JUMAMOSI MARCH 29 PTA SABASABA


Bondia Japhert Kaseba akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa na Thomasi mashali kushoto mpambano utakaofanyika PTA Sabasaba kesho

Mabondia Thomasi Mashali kushoto na Japhert Kaseba wakiwa na mkanda ambao wataugombania katika ukumbi wa PTA sabasaba skesho

Promota wa mpambano huo Ally Mwazoa akizungumza mbele ya waandishi wa habari
Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment