b..

B1

Wynem

animation

Monday, December 23, 2013

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K,O RAUNDI YA 4

http://1.bp.blogspot.com/-wPIEWnTbm8Q/UrdiSsKinsI/AAAAAAAAECA/5NaSAHTncn8/s1600/IMG_0236.JPG 
Bondia Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es salaam Kaseba alishinda kwa KO ya raundi ya nne ya mpambano huo.
Picha na superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment