b..

B1

Wynem

animation

Tuesday, May 21, 2013

PROF. JAY AINGIA RSMI KWENYE SIASA, ACHUKUA KADI YA UANACHAMA YA CHADEMA

Mtu mzima Joseph Haulea a.k.a Prof. Jay 'Jzze' the havy weight MC, ameamua kuingia rasmi kwenye siasa baada ya kuchukua kadi ya chama ya CHADEMA. 
Prof. Jay amekabidhiwa kadi hiyo leo na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu'.

No comments:

Post a Comment