b..

B1

Wynem

animation

Sunday, August 14, 2011

WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA KUYEYUSHA VYUMA CHAKAVU(scrapers) IRON STEEL WAKUTANA KUJADILI HATMA YAO

Baadhi ya wafanyakazi wa  kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron steel  wakiangalia makabrasha mbalimbali kabla ya kuanza kwa kikao chao cha kujadili kufukuzwa kazi kwa kudai nyongeza ya mshaara ambapo wafanyakazi 207 wamefukuzwa bila kufata taratibu zakazi.
Mwenyekiti  wa wafanyakazi wa  kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron steel. Bw. Raina Mwanyamba akizungumza wakati wa mkutano wao wa kujadili kufukuzwa kazi kwa kudai nyongeza ya mshaara ambapo wafanyakazi 207 wamefukuzwa bila kufata taratibu zakazi.
Mmoja ya Wafanyakazi wa kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron steel Omari Salumuakizungumza katika kikao chao cha kujadili kufukuzwa kazi kwa kudai nyongeza ya mshaara ambapo wafanyakazi 207 wamefukuzwa bila kufata taratibu zakazi.(PIcha na Mpigapicha Wetu)
kwa maelezo zaidi:-
Rajabu Mhamila 'Super D'
Photojournalist at Majira, Business Times

No comments:

Post a Comment