b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, August 17, 2011

Baby J AACHIA NGOMA MPYA - "FURAHA YANGU"


Wimbo mpya kutoka kwa Baby J msanii wa Zenzi Fleva anayewakilisha ipasavyo kila atoapo wimbo. Hivi sasa ameamua kuja na wimbo mwingine aliupa jina la FURAHA YANGU uliotengenezwa katika studio ya Akhenaton chini ya Producer Lil Gheto. 
Usikilize halafu unipe maoni yako mwanadada amerudi vipi kwa wimbo huu mpya. 

Download and listen for promo ONLY

No comments:

Post a Comment