b..

B1

Wynem

animation

Thursday, August 11, 2011

MTOTO WA KITAA KAZINI (TUNAANDAA VIPINDI VYA TV)


Sule Junior (kulia) akisimamia mpango mzima huku akiwa na kameraman pembeni
Mwanadada Mina akifanya mahojiano mafupi na wadau wa burudani
SULE’S INC.& ENTERTAINMENT kwa kushirikiana na mtoto wakitaa inaandaa kipindi / vipindi vya burdani ambacho muda sio mrefu kitakuwa hewani!
Wadau wote wa burudani na hasa wa huu muziki wa bongo mnaombwa make katika mkao wa kula!

No comments:

Post a Comment