b..

B1

Wynem

animation

Sunday, August 19, 2012

NI ZAMU YA MABONDIA ZOLA D NA MCHUMIATUMBO UZITO WA JUU


Bondia David Michael Mlope (Zola D – King) akitunishiana msuli na Alpjonce Joseph (Mchumiatumbo) wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya idi pilikatika Uwanja huo huo wa Chuo cha Bandari Temeke.

Bondia David Michael Mlope (Zola D – King)  akipima uzito leo kwa ajili ya mpambano wa idi pili utakaofanyika katika Uwanja huo huo wa Chuo cha Bandari Temeke

Bondia Alpjonce Joseph (Mchumiatumbo) akipima uzito.
Mtangazaji wa kituo cha ITV Amir Masareakimuhoji Bondia David Michael Mlope (Zola D – King).
Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment