b..

B1

Wynem

animation

Monday, July 24, 2017

Tundu Lisu afikishwa mahakamani leo Dar es Salaam



IMG-20170724-WA0007.jpg


IMG-20170724-WA0008.jpg
Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lisu, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashtaka yake ambayo bado haijawekwa wazi.
FB_IMG_1500896499844.jpg
Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lisu (mwenye fulana nyekundu) akiwa mahakamani.
FB_IMG_1500896506343.jpg
IMG_20170724_144943.jpg 
PICHA: Mawakili Peter Kibatala na Fatma Karume wakinena jambo mahakama ya Kisutu kabla ya kusikilizwa kesi ya mteja wao, Mbunge Tundu Lissu.


No comments:

Post a Comment